Monday, September 24, 2012

CHUCHU HANS HAWEZI KUTOKA NJE YA NDOA!!

PAMOJA na kukiri kupewa uhuru wa kutosha na mumewe Frank Mtao, mkali wa Bongowood, Chuchu Hans amefunguka kuwa hawezi kutoka nje kama mastaa wengine wanavyoandamwa na skandali hiyo.
Chuchu aliiambia Bongowood kuwa anajitambua yeye ni nani katika jamii hivyo skendo haiwezi kumpata hata siku moja kwani hana tamaa ya fedha kama wengine.
Chanzo:http://www.globalpublishers.info/

No comments:

Post a Comment